Thursday, May 22, 2014

SOMA ALICHOKISEMA NIKI WA PILI KUHUSU KUMRUDISHA LORD EYES KUNDINI.

    



Msanii wa kundi na kampuni ya Weusi, Nick wa Pili ameweka wazi kuwa siku za hivi karibuni itafahamika hatima ya Lord Eyes aliyesimamishwa kutokana na kukiuka maadili na sheria za kundi.


Weusi

Nick aliweka wazi hilo alipokuwa akichat katika ukurasa wa Facebook wa EATV alisema kuhusu hatima ya msaniii Lord Eyes ambae alisimamishwa katika kundi hilo na kudai atarudishwa soon. “Lord Eyes soon atarudi weusi maana sisi kama weusi kwa pamoja ni kampuni,hivyo weusi ni mtu 5 kama memorandam ya kampuni inavyo sema,” alisema.

No comments:

Post a Comment