Saturday, April 12, 2014

TAZAMA SEHEMU TOFAUTI TOFAUTI JIJINI DAR ZILIVYOKUMBWA NA MAFURIKO


Hapa ni eneo la Jangwani Uwanja wa Club ya Yanga na nyumba zilizopo pembeni yake pakiwa pamejaa maji na barabara ya jangwani kutokea Kigogo haipitiki.

Huu ni uwanja wa Club ya Yanga ukiwa umejaa maji.

Hii ni Braking News ya Daraja la Matumbi kutoka Buguruni kuelekea Ubungo.....

Jangwani......

Nyumba za jiraji na Jengo la Yanga Jangwani......

Mito ni kama hivi hatari tupu.....

Hatari tupu eneo la Mbagala.....

Lori likiwa limetumbukia baada ya barabara kukatika kutokana na mvua kubwa iliyosababisha maji kukatiza barabara eneo la Mbagala. Dereva ameokolewa na wasamariawema.

Wananchi wakihama baada ya nyumba zao kujaa maji....

Wananchi wakiokoana kimtindo......

Nyumba za Dar Villa Msasani.....

Hapa ni Bunju, .......



Sehemu ya maduka yaliyopo eneo la Kituo cha daladala cha ITV yakiwa yamezingirwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam. Kutokana na mvua hizo na maji kujaa kumesababisha msongamano mkubwa wa mago kuanzia jana jioni na leo.

Barabara ya kuelekea Goba....

Barabara ya Goba ikiwa imeharibika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.

Maji yakitiririka kwa kasi katika Mto Mbezi eneo la Bondeni...

Vijana wakitumia fursa vizuri kwa kujipatia mchanga unaotiririshwa na maji ambapo huwauzia madereva wa maroli.

Eneo la Mwenge karibu na kituo cha daladala.....


Moja ya daladala lililokuwa gereji likiwa limezingirwa na maji eneo la Mwenge....

Maduka ya Mwenge yakiwa yamezingrwa na maji.....

Mdada huyu alikuwa akipiga hesabu na kujiuliza jinsi ya kuvuka maji yaliyojaa na kukatiza barabara eneo la ITV.

Mwenge karibu na Zahanati......hakuna njia ya kuingilia Zahanati

Maduka eneo la Mwenge yamejaa maji....

Kazi haifanyiki leo katika maduka haya...

Mwenge eneo la Nakiete......

Maji yakikatiza barabara eneo la ITV.....

Mitungi ya Ges ikielea....

Njia panda ya Kwa Nyerere.......

credit: sufiani mafoto web

No comments:

Post a Comment