Sunday, January 26, 2014

DUNIA INA MAMBO..MBUNGE AFYATUA RISASI BUNGENI BAADA YA KUTOKEA MABISHANO NA MBUNGE MWENZAKE NDANI YA BUNGE...!

Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge mmoja nchini Jordan alifyatua risasi ndani ya Bunge baada ya kutokea mabishano kati yake na Mbunge mwenzake ambaye ni Spika wa Bunge.

Hata hivyo hakuna mtu aliyejeruhiwa na imekuwa ni kawaida kwa wabunge wa Bunge la Jordan kushikana mashati na kurushiana ngumi.


MP FIRES AK-47 DURING JORDANIAN PARLIAMENT SESSION


A Jordanian MP opened fire on his colleague inside the Jordanian House of Representatives on Tuesday morning, following an argument during the parliamentary session.


According to Roya News, an Amman-based news service, MP Talal Al Sharif opened fire using a Kalashnikov automatic weapon on his colleague MP Qusai Dmeisi the inside of the House of Representatives on Tuesday.


Early reports from Al Ghad news, a Jordanian newspaper, Sharif opened fire using the AK-47 during a Foreign Affairs Council meeting at the House of Representatives, which lies in the Abdali area of Amman.


According to Al Ghad, it was not immediately clear why Sharif opened fire.


Although MP Sharif fired the AK-47, Deputy Qusai Dmeisi (Zarqa, 4th District) was also involved in a brawl in the Parliament earlier this week, when he tried to attack Yihya Saud (Amman, 2nd District) to prevent Saud from accusing Prime Minster Abdullah Ensour. As all parliamentary sessions are filmed, there is a video of the clash between the two MPs from earlier this week.

No comments:

Post a Comment