Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Charles Kitwanga akitoa
Maelekezo kuhusu Uchafuzi wa Mazingira kwenye kiwanda cha
Mwatex kinachotiririsha Maji kwenye Makaazi ya Wananchi Wilayani
Ilemela Mkoani Mwanza Kulia Mkurugenzi Rasilimali Watu Bw Evodius
Gordian.
Naibu
Wazir Ofisi ya Makamu waRais Charles Kitwanga akitoa Maelekezo kwa Mkuu
wa Wilaya ya Ilemela Bi Amina Juma wakati alipotembelea kiwanda cha
Mwatex Wilayani Ilemela ambacho kinatiririsha Maji kwenye Makazi ya
Wananchi katikati Mkurugenzi wa kiwanda Bw Amin Ladhan wapili Mkurugenzi
Rasilimali Watu Bw Evodius Gordian. (Picha na Ali Meja)
No comments:
Post a Comment