Thursday, March 14, 2013

PROFESA MUHONGO AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI LEO

Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (wanne kutoka kushoto) akiwa pamoja na Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Nishati na Madini mara baada ya kufungua mkutano wa baraza hilo mwezi Machi, 14, 2013. Kulia kwa Mhe. Waziri ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Bw. Mrimia D. Mchomvu. Ufunguzi huo umefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano Bluer Pearl jijini Dar es Salaam ambapo waziri Muhongo amesema kuwa kikao hicho kimelenga kujadili Agenda ya Bajeti ya Mwaka 2012 pamoja na Mwaka 2013-2014. (PICHA NA WIZARA YA NISHATI NA MADINI)

No comments:

Post a Comment