Saturday, March 16, 2013

NHIF YAWAPIGA MSASA WANACHAMA WA UVIMA KUHUSU HAKI NA WAJIBU WAO

 Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF),Rehani Athumani akizungumza katika semina ya  vikundi vya akina mama wa Majohe (UVIMA) vilivyopo chini ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inayosimamiwa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete hiyo iliyofanyika Majehe leo. PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Philomena Marijani Meneja Uragibishi kutoka WAMA akizungumza katika semina hiyo
  Michael Muhando Mkurugenzi wa Tathmini na Uhai wa Mfuko na Takwimu (NHIF) akizungumza katika semina hiyo leo
 Afisa wa Masoko na Elimu kwa Umma NHIF Grace Michael akitoa maelezo kabla ya kuanza kwa semina hiyo leo
  Wanachama wa UVIMA
 Washiriki wakisikiliza kwa makini wakati wa semina hiyo
 Wachekeshaji Abdallah Salum Kulia ni Shoti na Rashid Omary Hasara wakiburudisha washiriki wa semina hiyo kabla ya kuanza rasmi.

No comments:

Post a Comment