
Katibu
wa Bunge Ndg. John Joel akitangaza Matokeo ya wenyeviti na Makamu wa
Wenyeviti mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa viongozi hao katika
kamati zote za Bunge leo. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa kamati za Bunge
Ndg. Theonist Luhirabake na kulia ni Afisa Habari wa Bunge Ndg. Owen
Mwandumbya
Wajumbe wa Kamati ya PAC wakiteta na Mhe. John Cheyo anaye tetea kiti chake cha uenyekiti wa kamati
Mhe.
David Kafulila akimpongeza Mhe. James Lembeli mara baada ya kupita bila
kupingwa kwa nafasi ya uenyekiti wa kamati ya Ardhi Maliasili na
Mazingira






No comments:
Post a Comment