Kampuni ya simu za mkononi Zantel imejitolea kudhamini Timu
ya Afrika Lyon kwa mkataba wa miaka mitatu
ambapo Zantel imesema kuwa Lengo lao ni kukuza vipaji kwa vijana wa
Kitanzania.
Leornard Tadeo Kushoto akiteta jambo na Afisa wa Zantel Bw, Sajid Khan mara baada ya mkutano
uliowahusisha waandishi wa habari.
|