Saturday, September 15, 2012

WANAWAKE WAMLAKI ROSE MIGIRO LEO KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM


Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimpongeza Dk. Asha Rose Migiro, wakati wa sherehe ya kumpongeza Naibu Katibu Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa aliyemaliza muda wake, katika hafla iliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzanaia (UWT), kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, leo.

Rose Migiro akitoa neno la shukurani kwa wanawake waliohudhuria ktk hafla hiyo

Mama Kikwete akiwapungia wananchi

Mama maria Nyerere naye alikuwepo

Huyu ndiye mama Nyerere Mwenyewe (katikati)