Waziri wa Nishati na Madini Bw, Sospiter Muhongo, akiwa kwenye mkutano wa kuzindua
Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la
Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) iliyozinduliwa leo katika Hoteli ya
Kilimanjaro jijini Dar es Salaam ambapo waziri aliishauri bodi hiyo kuakikisha
kuwa faida kubwa itakayopatikana katika
Petroli iingie katika soko la Tanzania. Pia ameitaka Bodi hiyo kuhakikisha kuwa wawekezaji watakao wekeza
wanatoka ndani ya Tanzania na sio wawekezaji kutoka Nje ya Tanzania.
|