| Diwani wakata ya Kimara akimpongeza mwanafunzi wa Darasa la saba katika shule ya Msingi Milenia ya Tatu kwenye mahafali yaliyofanyika leo katika shule hiyo |
| Hawa ndo wahitimu waliomaliza darasa la saba |
| Naibu Msatahiki Meye wa Kinondoni Bw, Richard Kengule wakwanza kulia ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi akishika cheti kwa ajili ya kumpa mhitimu. |
| Mgeni Rasmi pamoja na viongozi wakiwa kwenye pcha ya pamoja na Wahitimu wa Darasa la Kwanza. |