Katibu mkuu wa IDC Sheik Salim Juma Salim akiongea na
waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,kushoto ni mratibu wa IDC BW,
Majaliwa Suleiman.
|
Mkurugenzi wa IDC akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa
habari ambapo aliwasisitizia waislamu kushiriki katika ibada hiyo ili
kuyabadilisha maisha yao yaendane na maadili ya kimungu.
|
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria wakipiga kazi |