Mwenyekiti wa Bunge la Africa Mashariki Mh, Adam Kimbisa, akiongea na
waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya habari maelezo jijini Dar es
Salaam ambapo amewataarifu wananchi kuwa kesho watakwenda nchini Kenya kwa
ajili ya kikao cha Bunge kitakachoanza Nairobi Kesho.
Jumla ya Wabunge wa Bunge la Africa Mashariki kutyoka Nchini
Tanzania wapo tisa katika vyama mbalimbali ikiwemo CCM, Chama cha wananchi CUF, pamoja na NCCR
Mageuzi.
Watanzania wajasiriamali wametakiwa kuchangamkia soko la
Afrika Mashariki ili kila mtanzania aweze kufaidika katika soko la Afrika
Mashariki.
|