Monday, September 3, 2012

POLISI WAMUUA MWANDISHI WA HABARI IRINGA WAMSAMBARATISHA UTUMBO KIA KITU

Polosi wakijiandaa kumuua mwandishi wa habari  Daudi Mwangosi wa Kituo  Cha Televisheni cha Channel Ten  jana katika vuguvugu la Chadema Mkoani Iringa Daudi anaonekana akiwa amemkumbatia Mmoja wa Askari na askari mwingine akimpiga bomu.

Huu ndio mwili wa Mwandishi wa habari aada ya kusambaratishwa na Bomu anaonekana askari akiwa amekaa karibu na mwili huo