Kaimu mkurugenzi wa Chakula bora (food safety) Bw, Martin
Rimanya akimuelekeza waziri aina ya vyakula walivyo vifanyia uchunguzi ambapo
amesema kuwa kuna jumla ya vyakula 3018
ambavyo vimesajiliwa baada ya kufanyiwa uchunguzi na pia amesema kuwa kuna
majengo 5025 ambayo yapo tayari kukagua vyakula nchini na kuongeza kuwa watu na
makampuni , yanayotakiwa kuingiza chakula nchini ni watu 1431 tu. Aidha Bw,
Rimanya ameongeza kuwa wamefanya
uchunguzi katika mikoa kumi ili waweze kubaini ni watu kiasi gani walio athirika
na sumu inayopatikana katika vyakula
zinazotokana na ukungu maarufu kama sumu kuvu na kubaini kuwa Mkoa wa Iringa
umeathiriwa zaidi na sumu hiyo.
|