![]() |
| Hawa ni wanafunzi wamepewa adhabu baada ya kufanya makosa mbalimbali ikiwemo kuchelewa shule na hali kama hii inafanyika mara nyingi sana katika shule za msingi za serikali. |
![]() |
| Hapa wanafunzi wanaendelea na mtihani na wanalazimika kufanyia nje kutokana na uhaba wa madarasa na hali hii ipo sana katika shule za serikali. |

