Thursday, July 12, 2012

WALIMU WATISHIA KUGOMA

CHAMA cha walimu  Tanzania (CWT ) kimeitaka serikali kushughulikia madai yao kabla wao hawajafikiria kuchukua hatua nyingine  ambapo alisema kuwa  ikiwa serikali itashindwa kuwasuluhisha Chama kitawatangazia wanachama  wake juu ya Uamuzi wao wa kupiga kura ambapo  walimu watajulishwa tarehe  ya kupiga kura  ili kuamua  kuhusu walimu kugoma au kutogoma . Alisema kuwa ikiwa  kura  zitapigwa na walimu wengi  wakaunga mkono mgomo , Chama cha walimu Tanzania CWT kitaitisha kikao cha dharura  cha Baraza la Taifa kuamua  juu ya aina ya  Mgomo   na muda wa Mgomo kama inavyoelezwa kwenye nyaraka za (CWT).
Aidha alisema  kuwa endapo kutakuwa na mgomo taarifa itatolewa na Rais wa CWT  na sio kiongozi mwingine yeyote wa Chama.