Thursday, July 12, 2012

TIGO YAZINDUA HUDUMA MPYA

Meneja wa huduma za internet katikati Bw, Titos Kafumu akiongea na waandishi wa habari leo hii katika makao makuu ya Tigo kuhusiona na huduma mpya ya Tigo  jamaa ya kusaidia kuwaunganisha  wateja wanaotumia  mtandao wa tigo   katika huduma ya internet kwenye simu zao. kulia ni afisa uhusiano wa Tigo Alis Maro na wa kwanza kushoto ni  mtaalamu wa operesheni wa huduma za tigo Bw,  Edward Shilla.