Saturday, July 28, 2012

WADAKWA WAKIIBA KWENYE MINARA YA SIMU


Aliyevalia fulana nyeusi wa mbele kabisa ni mtuhumiwa wa Batery kwenye nyaya za simu Bw, Edwad Makwimba na nyuma ni mtuhumiwa mwenziye Bw, Dedan Mvungi wakiwa wamewekwa chini ya Ulinzi baada ya kukutwa wanaiba  betry kwenye minara ya Simu.Watuhumiwa hao walikamatwa eneo la Jeti Rumo wilayani Temeke  Juzi, ambapo kampuni ya Ulinzi Kiwango iliwakamata kwa kushirikiana na Polisi waliokuwa wakifanya Doria maeneo hayo.

Watuhumiwa wakiwa katika eneo la tukio walipokamatwa wakionyesha funguo walizotumia kufungulia geti la mnara.

Hapa wakipandishwa kwenye gari la Polisi tayari kupelekwa kituoni.