Thursday, July 12, 2012

FILAMU YA KUMCHANGIA SAJUKI YATARAJIWA KUZINDULIWA ARUSHA

Msanii wa Filamu nchini Wastara Juma, mke wa msanii   Juma Kilowoko (Sajuki) ambaye ni mgonjwa akizungumzana waandishi wa habari kuhusu kuzinduliwa kwa Filamu maalum ijulikanayo kwa jina la Sayla kwaajili ya kumchangia mumewe mgonjwa  ikiwa na malengo ya kupata fedha kwaajili ya muendelezo wa matibabu, kushoto ni msanii ambaye ameshiriki filamu hiyo Wema Sepetu.

Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano huo wakiangalia sehemu ya filamu itakayozinduliwa.