Monday, July 2, 2012

TIGO YAPAGAWISHA WENGI KWENYE VIWANJA VYA COCO JIJINI DAR JANA.

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya maarufu kama Barnaba akiwapagawisha wateja wa Tigo waliohudhuria kwenye Tamasha lililoandaliwa na Mtandao wa simu za Mikononi Tigo lililofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Coco Beach ambapo wateja wengi wa Tigo waliohudhuria kwenye Tamasha hilo waliondoka na Zawadi mbalimbali ikiwa ni Pamoja na kushuhudia Mechi ya Hispania na Italy iliyofanyika jana Usiku.

Fid Q nae aliwapagawisha mashabiki wake wengi waliokuwemo kwenye Tamasha hilo.

Fid Q akiwa jukwaani na umati wa watu waliohudhuria kwenye Tamasha hilo wakimshangilia.