Tuesday, July 24, 2012

SIMBA WAAGA MASHINDANO YA KOMBE LA KAGAME BAADA YA KUFUNGWA 3-1 NA AZAM FC

Mchezaji wa timu ya Simba ya Tanzania akijaribu kuondoka na mpira kuelekea golini mwa timu ya Azam FC katika mchezo uliofanyika jana jioni kwenye uwanja wa taifa  ikiwa ni michuano ya Kombe la Kagame,Mpira ulimalizika huku Azam FC ikiwa imeshinda magoli 3-1 dhidi ya timu ya Simba  yaliyofungwa na mshambuliaji John Boko  (Adebayor) wakati lile la Simba limefungwa na Shomari Kapombe.