Monday, July 2, 2012

MCHUNGAJI AMTAKA RAIS PAMOJA NA MAWAZIRI KUWAONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADILI YA KUMJUA MUNGU.

Mchungaji wa kanisa la Benny Hinny Ministry akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na Namna anavyopinga kile kinachosemwa pamoja na kuogopwa na watu Freemasons ambapo alisema kuwa Watanzania hawana haja ya kuogopa wala kuwa na hofu kuhusina na Jambo hilo ila wanatakiwa kujengeka katika imani.
Aidha aliwataka viongozi wa Nchi akiwemo Rais pamoja na mawaziri wake kutowapeleka wananchi kuzimu ila wawaongoze wananchi katika maadili ya kumjua Mungu.