Friday, July 27, 2012

JOSE CHAMILEONE AANDAMANA MPAKA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA



Mwanamuziki maarufu Afrika Mashariki kutoka Nchini Uganda Jose Chameleone akiwa nje ya jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda na mabango sambamba na wapambe wake akishinikiza apatiwe passport yake ambayo anadai inashikiliwa na Bwa.Erick Shigongo.

Askari wa Nchini Uganda wakihakikisha ulinzi unakuwepo nje ya Jengo la Ubalozi wa Tanzania Nchini Uganda wakati wa maandamano hayo.

Wafuasi wa Chamilion