Wednesday, July 18, 2012

AIR TANZANIA YASHINDWA KURUKA KUTOKANA NA HITILAFU NDANI YAKE. ABIRIA MPAKA SASA WAMEKWAMA

Ndege ya Air Tanzania aina ya Boeing yenye namba 737,  leo imeshindwa kuruka kutokana na matatizo yaliyojitokeza  na kusababisha abiria kushinndwa kuendelea na Safari. Kwa mujibu wa Abiria walioko eneo hilo wamesema kuwa  walikuwa wanasafiri kuelekea Mwanza na wamefika hapo katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kuanzia Hasubui. Mpaka hivi sasa Abiria waliokuwa wasafiri na Ndege hiyo wameshindwa kuendelea na safari na hivyo.