![]() |
| Mfunzo ya michezo yaliyoandaliwa na Right to Play yanafikia ukingoni leo baada ya kuanza jana katika Ukumbi wa Ubungo plaza jijini dar es Salaam. |
![]() |
| Raisi wa Olympic Tanzania Mhe, Gulam Rashid akichangia mada katika semina hiyo inayoendelea leo katika ukumbi wa Ubungo plaza jijini Dar es Salaam. |
![]() |
| Naye Katibu wa Ngumi Tanzania Bw, Makore Mashaga , alikuwepo ambapo aliuliza ni kwanamna gani mchezo wa Ngumi unashirikishwa na kutangazwa na Asasi hiyo ili kukuza mchezo huo. |
![]() |
| Meneja Uwezeshaji wa Right To play Bw,Francis Rwiza akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa Habari kuhusiana na semina hiyo ambayo inaisha leo. |




