Friday, June 8, 2012

NMB YAIKABIDHI WIZARA YA FEDHA SH, BILIONI 7.9

 
Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa akifungua mkutano wa siku mbili wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha jana mjini Dar es salaam.
Mtendaji Mkuu wa Benki (Chief Executive Officer ) ya NMB Mark Wiessing (katikati) akimkabidhi  Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa(wa pili kushoto) mfano wa  hundi ya shilingi bilioni saba nukta tisa(7.9 ) leo mjini Dar es salaam ikiwa ni gawio kwa Serikali ya Tanzania kutokana na faida iliyopata.  Wengini ni Naibu Waziri wa Fedha Janet Mbene (kushoto)  ,Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum (kulia) na Meneja Mwanandamizi anayeshughulikia masuala ya Serikali wa NMB Domina Feruzi.