Sunday, June 10, 2012

MAKAMU WA RAIS DK, MOHAMMED GARIB BILAL ATEMBELEA MAONYESHO YA TANZANIA HOMES EXPO YALIYOFANYIKA LEO MLIMANI CITY

Makamu wa Rais Mohammed Garib Bilala akipata maelezo
 kutoka kwa meneja usambazaji wa kampuni ya Insignia Limited Bw,  Obed Machoka  kuhusiana na mambo yanayofanyika kwenye kampuni yao.
(PICHA ZOTE NA EVALINE SHAYO WA MAASINDA)

Makamu wa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe, Garib Bilal (wa kwanza kulia)  akipata maelezo kwenye moja ya Mabanda ya kampuni ya  Global land solution Limited alipo tembelea maonyesho ya kwanza ya Tanzania Homes Expo yaliyofanyika leo Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya washiriki waliohudhuria kwenye maonyesho hayo
 Mkurugenzi wa maonyesho hayo Bw, Zenno Ngowi akitoa neno la shukrani wakati wa maonyesho hayo
 Makamu wa Rais akisoma risala yake wakati wa maonyesho hayo ambapo alielezea umuhimu wa kuwepo kwa maonyesho hayo kwani yanamwezesha mtanzania kujua wepesi wa kukopa nyumba kutoka katika mashirika mbalimbali ya benki nchini.
 Wajumbe wa Tanzania homes Expo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais.
 Wawakilishi wa Exim Bank na clouds Tv wakiwa kwenye picha ya pamoja na Makamu wa wakionyesha vyeti vyao baada ya kukabidhiwa kutokana na kujitolea kudhamini maonyesho hayo.
Kikundi cha ngoma kutoka Mabindu art kikitoa burudani wakatiwa maonyesho hayo.