Wednesday, May 23, 2012

TIGO YAZINDUA XTREME PACK

 Meneja wa Huduma za malipo ya kabla Tigo Bw, Suleiman Bushagama akizungumza na waandishi wa habari  leo hii makao makuu ya tigo jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa promosheni mpya ya iitwayo Xtreme Pack ambapo mteja wa tigo anaweza kutuma meseji mbili za kulipia na kupata meseji tano za bure kwenda mitandao yote nchini. ambapo Kwakupiga *148*01# au kutumaneno XTREME kwenda namba 15509, wateja wa huduma yakulipia kabla watafurahia huduma za thamani ambazo ni pamoja na dakika 15 za muda wa maongezi zitakazowawezesha kupiga simu Tigo kwa Tigo, sms 100, 50 MB kwa ajili ya kuperuzi facebook, kutumia mtandao, E-mail pamoja na Twitter,vyote hivyo kwagharama ya Tsh 450 nakuokoa sh 4,600! Pia tigo itatuma ujumbe mfupi wa maneno bure kwa wateja wao, kuwataarifu juu ya ukomo wa matumizi ya vifurushi vyao na kuwaruhusu kujiunga tena kama watahitaji ambapo promosheni hiyo inaanza kutumika rasmi  kesho kushoto ni Titus Kafuma meneja wa Tigo internet na kulia ni  Alice Maro Msemaji wa Tigo, Naye afisa mahusiano wa Tigo Bi Alice Maro alisema kuwa wanatafuta njia thabiti ya kuhakikisha kuwa wateja wao wanapata huduma zinazoendana na thamani ya pesa zao.
M
 Mmoja wa waandishi wa habari Omary Katanga kutoka Redio one akiuliza swali kwenye mkutano huo pamoja na waandishi wa habari wengine wanaoonekana nyuma yake.
 Baadhi ya waandiushi wa habari waliohudhuria kwenye uzinduzi huo wa Xtreme Pack ya Tigo.