Saturday, May 26, 2012

MASHINDANO YA JUDO YAFANYIKA DAR ZANZIBAR WAWAKIMBIZA WATANZANIA WENZAO

Rais wa Judo Tanzania Bw, Khalifa Kiumbemoto katikati akifwatila kwa makini Mashindano ya Mchezo huo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Landmark  jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto kwake ni Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Habari na Michezo Bw, Charles Mattoke  na wapili kushoto kwake ni Mdhamini wa Mashindano hayo kutoka Germin Copperation LTD Bw, Yulliy Tarverdyan. Katika Mashindano hayo Watanzania walionekana kushinda na wachezaji kutoka Zanzibar.