Monday, May 14, 2012

JWTZ,JESHI LA POLISI WAKWAMISHA KUTOLEWA KWA VITAMBULISHO VYA TAIFA KWA KUONYESHA VITENDO VYA WIZI



ZOEZI  la utekelezaji wa mradi wa Vitambulisho vya taifa linaelekea kukamilika lakini kunachangamoto zinazosababishwa na wafanyakazi wa Serikali wakiwemo Jeshi la wananchi Tanzania na Jeshi la polisi Tanzania wanaopelekea zoezi hilo kutokukamilaka mapema kama ilivyopangwa.








Aidha alisema kuwa, wakati wkiendelea kufanya marekebisho ya mfumo zoezi la usajili wa wananchi wa Dar es Salaam baada ya miezi miwili na kuwa zoezi hilo litatanguliwa na ujazaji wa Madaftari ya wakazi kabla ya kuanza kujaza fomu za usajili.

“ Zoezi letu la usajili wa wananchi litaendelea kama kawaida na mara hii tunategemea kuanza usajili  wa wananchi  wa Dar es Salaam  hivi karibuni”, alisema.