Tuesday, April 10, 2012

VIONGOZI WA SERIKALI WAUAGA MWILI WA MAREHEMU


Viongozi mbalimbali akiwemo makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk Gharib Bilal wakitoa salamu za mwisho kwenye harakati za kumuaga marehemu steven Kanumba.leo hii jijini Dar es Salaam.

Jeneza lenye Mwili wa Marehemu,Steven Kanumba likibebwa kwenye Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam leo hii.