Tuesday, April 24, 2012

SHIRIKA LA NYUMBA (NHC) LATANGAZA MRADI WA KUUZA NYUMBA 48

 Mkurugenzi wa biashara na maendeleo ya shirika la nyumba Bw. David Misonge (katikati) akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya New africa jijini Dar es Salaam juu ya uzinduzi wa uuzwaji wa nyumba katika mradi wake mpya  wa mchikichi Ilala jijini Dar es Salaam na ujenzi wa nyumba hizo ambazo zipo nyumba (48) unatarajia kukamilika rasmi February 2013, ambapo alisema nyumba hizo zenye vyumba vitatu kwa kila nyumba chumaba kimoja cha kulala cha kujitegemea na vyumba viwili vinavyotumia choo kwa pamoja na alisema kila nyumba itauzwa kwa shilingi,168,239,748.62 (bila vat) wakwanza kushoto ni Bw. Itandula Gambalagi ambaye ni meneja masoko na utafiti na wakwanza kulia ni Bw. W2illiam Genya  Meneja Mauzo katika Shirika hilo.

Baadhi  ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali waliohudhuria katika mkutano huo.