Monday, April 8, 2013

WAZIRI MKUU MH MIZENGOPINDA APOKEA RAMBIRAMBI KUTOKA SERKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUFUATIA AJALI YA KUANGUKA KWA GOROFA 16 JIJINI DAR ES SALAAM

 Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akipokea hundi ya shilingi Milioni hamsini kutoka serekali ya mapinduzi ya Zanzibar kufuatia ajili ya gorofa 16 lilosababisha maafa tarehe 29 march 2013 jijini Dar es salaam hundi hiyo imekabidhiwa na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi ndogo ya waziri mkuu Ostabey jijini Dar es salaam. Picha na Chris Mfinanga.

No comments:

Post a Comment