Taarifa zilizopatikana muda na Zisizo rasmi ni kwamba shule ya
Sekondari Kibiti imefungwa baada ya vurugu kubwa kutokea kati ya
wanafunzi wa Kikiristo na Waislam.
Taarifa hizo zinasema kuwa, wanafunzi wa kikiristo wamekuwa wakiwatuhumu wenzao
kupiga kelele na kushindwa kusoma wakati waislamu wamekuwa wanawatuhumu
wakiristo kuwa wana kwenda kununua KITIMOTO(nyama ya Nguruwe) na kuingia nacho katika
mazingira ya shule.
Baada ya vurugu hizo Mkuu wa shule ameamua kufunga Shule hiyo bila kutoa lini itafunguliwa.
MAASINDA itazidi kuwaletea Taarifa kuhusiana na Sakata hili.
No comments:
Post a Comment