| Meneja wa Maadili na Usuluhishi wa MCT, Allan Lawa akitoa
ufafanuzi kwa wafanyakazi wa kampuni ya Dira News paper Mwenyekiti wa
Baraza la Habari Tanzania (MCT) jaji Thomas Mihayo (mwenye suti
nyeusi) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni za
Msama alipotembelea katika ofisi hizo mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi
wa kampuni za Msama, Alex Msama (katikati), akiwa kwenye picha ya
pamoja na baadhi ya watendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT).
Kushoto Allan Lawa, jaji Thomas Mihayo, kulia Magdalena Thomas na Rafii
Haji Makame. (Picha na Yohana Silas)
|
No comments:
Post a Comment