![]() |
| Huyu ndiye mama Mzazi wa Mtoto aliyekatwa mkono baada ya mkono wake kuharibika kutokana na kumwagiwa maji ya moto na mama yake Mdogo. |
![]() |
| Aneth aliyekatwa Mkono ndio huyu anaonekana kuendelea vizuri |
![]() |
| Hapa akilishwa chakula wakati mama yake kulia akimwangalia kwa machungu |
![]() |
| Pole sana Aneth |




No comments:
Post a Comment