Mwenyekiti
wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (aliyesimama)
akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (hawapo
pichani) wakati wa mkutano uliotishwa na Tume hiyo jana jumapili tarehe
14. Oktoba, 2012 katika Ukumbi wa Mikutano wa Baraza hilo mjini
Zanzibar, uliolenga kukusanya maoni ya Wajumbe hao kuhusu mchakato wa
Mabadiliko ya Katiba. Kutoka kulia ni Wajumbe wa Tume hiyo, Profesa
Paramagamba Kabudi, Suleiman Ali, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar Ali Abdalla Ali, Mjumbe wa Tume Joseph Butiku, Katibu wa Tume
Assaa Rashid na Naibu Katibu Casmir Kyuki. |