Kuhusiana na Taarifa kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda kukamatwa ni kweli na Imethibitika na leo hii waumini wa dini ya Kiislamu
wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Sheikh huyo walikuwa makao makuu ya
Polisi jijini Dar es Salaam wakitaka Kiongozi huyo aachiwe baaada ya kukamatwa usiku wa kuamkia Leo jijini Dar es Salaam,