Baada ya kimya kirefu leo Leo Yule Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Dk Steven Ulimboka ametoa taarifa yake kwa vyombo vya
habari iliyosainiwa na wanasheria wake Shayo pamoja na Nyaroro Kicheere.
Taarifa yake imesema kuwa ameshangazwa na serikali kutomkamata mtu huyo ambaye ndiye aliyempigia simu na akamtaka wakutane naye akatekwa na amemtaja kwa jina la Ramadhani Ighondu afisa wa Usalama wa Taifa.
Amesema wakati anatekwa Dk alikuwa anatumia namba ya simu hii hapa 0713731690
Ulimboka amesema kuwa yupo tayari kutoa Ushirikiano endapo tume ya Kufanya uchunguzi itaundwa.