Mashindano ya Mpira wa Mikono kutoka katika Tamaduni za
Kihindi(Tradition Volleyball) yanaendelea jijini Dar es Salaam ambapo jana
usiku kulikuwa na mashindano ya Nusu fainali ambapo fainali zitachezwa kesho
kuanzia saa mbili usiku katika viwanja vya wahindi vilivyopo Posta jijini Dar
es Salaam.Michuano hiyo imedhaminiwa na Balaji Fragrance LTD iliyopo jijini Dar
es Salaam.
|