Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) alipokuwa akizungumza na
wajumbe wa Tume ya kuzama kwa Meli ya Mv SKAGIT,iliyoongozwa na
Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Abdulhakim Ameir Issa,walipofika Ikulu
Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
|