Amewataja baadhi ya wanachama hao kuwa ni,Edward Lowasa, Hussei Bashe, Andrew Chenge,Vedasto Matayo,pamoja na Juliu Karanga na kusema kuwa hawa ni baadhi tu ya Wanachama wa CCM wanao kihujumu chama hicho kwa maslahi yao.
Bw, Cypria Musiba akizungumza na waandishi wa Habari waliohudhuria |