Saturday, October 6, 2012

MAHADHIMISHO YA KUAMISHA MWILI WA MWADHAMA KARDINAL LAUREAN RUGAMBWA .

Mwili wa marehem Mwadhama Kardinal Laurean Rugambwa ukiwa kwenye jeneza


Ndani ya kanisa muda mfupi kabla ya Ibada

Gari lililokuwa limebeba maiti ya Mwadhama Kardinal

Baba Askofu msaidizi wa kanisa katoliki jimbo la Bukoa

Baadhi ya viongozi waliohudhuria

Baadhi ya waumini waliohudhuria

Wacheza ngoma nao walikuwepo