Saturday, September 29, 2012

UKARABATI WA RELI YA USAFIRI WA DAR ES SALAAM WACHACHAMAA

Reli ikiwa imewekwa mchanga ikiwa inaonekana kupendeza na hii ni kwa ajili ya usaffirishwaji wa abiria utakao anza mapema mwezi wa kumi mwaka huu.

Hivi ndivyo karibu nusu ya Reli hii inavyo onekana kwa sasa


Mafundi wakiwa kazini kujenga kituo cha kusubiria abiria maeneo ya tabata relini.