Monday, September 15, 2014

Picha,Mchezaji Mario Balotelli Alivyoteremsha Bukta Yake Uwanjani.

Mario_Balotelli_struggles Mario_Balotelli_struggles-2 Mario-BalotelMchezaji wa timu ya taifa ya Italia ambaye hivi karibuni amesajiliwa na Liverpool amefany kituko kingine uwanjani kwa kuvua bukta wakati wa mazoezi na kuonyesha nguo yake ya ndani.
Wachambuzi wa soka wanasema Mario ataendelea kufanya vituko hivi kwenye maisha yake yote ya soka,ndiovyo alivyo.

No comments:

Post a Comment