Monday, August 4, 2014

Picha,Lengo La Diamond La Kuchezwa Nje Lazidi Kutimia.


Diamond 3Hii post mpya ya Diamond kwenye Instagram kuhusu kazi zake kuchezwa nje. Wasanii wengi wamekuwa wakitumia pesa na nguvu nyingi ili kazi zao zichezwe nje na kupata promo kubwa kama anayopewa Diamond na vituo kama Trace Nigeria,Mtv Base na Channel O.
Kwa Diamond hii inaonyesha kuwa lengo lake la kufanya vizuri kimataifa limefanikiwa.
Diamond 5Diamond Diamond 2

No comments:

Post a Comment