Monday, June 9, 2014

NJIA YA MUONGO NI FUPI HIVI NDIVYO ALIVYODAKWA Mhe, Komba

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.

Click image for larger version. 

Name: IMG-20140607-WA0034.jpg 
Views: 0 
Size: 27.5 KB 
ID: 163506

Click image for larger version. 

Name: IMG-20140607-WA0035.jpg 
Views: 0 
Size: 24.6 KB 
ID: 163507

No comments:

Post a Comment