MWIGIZAJI
wa siku nchini, Said Ngamba maarufu kama Mzee Small, amefariki dunia
usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Rufaa ya Muhimbili mjini
Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Mtoto wa marehemu, Muhiddin amethibitisha taarifa za kifo cha baba yake, ambaye alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu.
Muhiddin alisema baba yake alizidiwa jana nyumbani kwake, Tabata, Dar es Salaam na kukimbizwa Muhimbili, ambako umauti ulimfika.
Mzee Small jina lilitokana na ufupi wake, ni miongoni mwa waigizaji wa mwanzoni nchini waliokuwa wamebakia ambao walifungua njia kwa wengine wengi wanaotamba kwa sasa.
Alipata umaarufu zaidi wakati alipokuwa akiigiza kama mume wa Chausiku Salum ‘Bi Chau’ kuanzia Redioni hadi kwenye Televisheni.
Kwa kwa miaka miwili sasa, afya ya Mzee Small imekuwa ikisumbua na mara kadhaa alilazwa hospitali na kuruhusiwa baada ya ahueni. Mungu aiweke pema peponi roho ya marehemu. Amin. - See more at: http://www.kengete.com/2014/06/msiba-mzee-small-hatunaye.html#.U5Sj_XbZiuI
Mtoto wa marehemu, Muhiddin amethibitisha taarifa za kifo cha baba yake, ambaye alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu.
Muhiddin alisema baba yake alizidiwa jana nyumbani kwake, Tabata, Dar es Salaam na kukimbizwa Muhimbili, ambako umauti ulimfika.
![]() |
| Mzee Small kushoto akiwa na Bi Chau enzi za uhai wake |
Mzee Small jina lilitokana na ufupi wake, ni miongoni mwa waigizaji wa mwanzoni nchini waliokuwa wamebakia ambao walifungua njia kwa wengine wengi wanaotamba kwa sasa.
Alipata umaarufu zaidi wakati alipokuwa akiigiza kama mume wa Chausiku Salum ‘Bi Chau’ kuanzia Redioni hadi kwenye Televisheni.
Kwa kwa miaka miwili sasa, afya ya Mzee Small imekuwa ikisumbua na mara kadhaa alilazwa hospitali na kuruhusiwa baada ya ahueni. Mungu aiweke pema peponi roho ya marehemu. Amin. - See more at: http://www.kengete.com/2014/06/msiba-mzee-small-hatunaye.html#.U5Sj_XbZiuI
Macho
na masikio ya Watanzania wengi kwa siku ya Jumamosi June 07 yote
yalielekezwa Durban Afrika Kusini sehemu ambako zilikua zikitolewa tuzo
za wateule wa MTV Afrika Music Award ‘MAMA’.
Furaha tuliyokuwa nayo Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana
kutoka nyumbani Tanzania kuwa ni miongoni mwa vijana wanaochuana kwenye
tuzo hizo tena akiwa vipengele viwili,ingawa bahati haikua njema kwa
Diamond kwani hakufanikiwa kupata.
Baada
ya kutangazwa washindi hao na yeye kutokuwepo Dimaond Platnumz
ameandika maneno haya kwenye kurasa zake za mitandao ya
kijamii>’Maisha ni Hatua.. Nafkiri kwa mwaka huu ile ndio ilikuwa
hatua yetu kwa MTV…Cha muhimu ni kujua wapi tulipokua mwaka jana na wapi
tulipo leo… pia kujifunza na kujua ni nini cha kuongeza zaidi ili Next
tym tuzidi kufanya vyema…. Shukrani zangu nyingi ziende kwa Mashabiki
wote,Management, Media,Family, wasanii na wadau Mbalimbali kwani kwa
nguvu zao ndio zimefanya leo kunisogeza toka sehem moja kwenda
nyingine…Next stop #BET!!!… Asante sana #Sheriangoi kwa Suti Hii’.
Diamond Platnumz alikuwa pia ni moja kati ya watumbuizaji wa ugawaji wa tuzo hizi,ambapo kwa namna alivyoingia kwenye jukwaa na Davido ilimfurahisha kila mtu aliyekuepo ukumbini na watu waliokuwa wakiangalia nyumbani kupitia DSTV.
Baada
ya kutangazwa washindi hao na yeye kutokuwepo Dimaond Platnumz
ameandika maneno haya kwenye kurasa zake za mitandao ya
kijamii>’Maisha ni Hatua.. Nafkiri kwa mwaka huu ile ndio ilikuwa
hatua yetu kwa MTV…Cha muhimu ni kujua wapi tulipokua mwaka jana na wapi
tulipo leo… pia kujifunza na kujua ni nini cha kuongeza zaidi ili Next
tym tuzidi kufanya vyema…. Shukrani zangu nyingi ziende kwa Mashabiki
wote,Management, Media,Family, wasanii na wadau Mbalimbali kwani kwa
nguvu zao ndio zimefanya leo kunisogeza toka sehem moja kwenda
nyingine…Next stop #BET!!!… Asante sana #Sheriangoi kwa Suti Hii’.Diamond Platnumz alikuwa pia ni moja kati ya watumbuizaji wa ugawaji wa tuzo hizi,ambapo kwa namna alivyoingia kwenye jukwaa na Davido ilimfurahisha kila mtu aliyekuepo ukumbini na watu waliokuwa wakiangalia nyumbani kupitia DSTV.

No comments:
Post a Comment