Tuesday, March 18, 2014

RUBANI FARIQ ABDUL HAMID ASEMEKANA KUITOROSHA NDEGE YA MALAYSIA AIRLINES


Kamera za usalama zikimwonyesha rubani wa ndege ya Malaysia aina ya Boeing 777, Zaharie Ahmed Shah, kwenye uwanja wa Kuala Lumpur.
Michoro inayoonyesha njia ambayo ndege hiyo huenda ilipitia kwenda kusikojulikana.
Mwanafunzi, Firman Siregar, akiwa na wazazi wake, ni mmoja wa abiria 239 waliokuwa katika ndege hiyo yenye orodha ya safari namba Flight MH370.

 
Rubani Zaharie Ahmad Shah.

Nyendo za ndege hizo zinavyokisiwa na wataalam.

Mwandishi wa habari akichukua picha nyumba ya rubani Fariq Abdul Hamid eneo la Shah Alam, karibu na Kuala Lumpur.
CHANZO: DAILYMAIL

No comments:

Post a Comment